kaluumayste
Take the Poo to the loo
Welcome, mswahili. Ni kuzuri kujua lugha kadhaa.![]()
Wa ambiye hawa wafala kujua luga ni mzuri.
Welcome, mswahili. Ni kuzuri kujua lugha kadhaa.![]()
Hivi karibuni nitasema swahili bora kuliko weweWas that Swahili? Damn, you improved sxb
loool, niko poa rafikiye.
Ukweli wallahi. :siilaanyolaugh:Wa ambiye hawa wafala kujua luga ni mzuri.
Jaribu nioneHivi karibuni nitasema swahili bora kuliko wewe![]()
Jaribu nione
Nakuchezea, waweza jua kuliko mimi ukifanya mazoezi mengi![]()
Jaribu nione
Nakuchezea, waweza jua kuliko mimi ukifanya mazoezi mengi![]()
Naacala...@Kudhufo Kadhaqaq ulikuwa wapi mze ?
@kaluumayste ulijifunza au umesoma wapi na ukajua hii lugha?
Tanzania au Kenya?
Yaa tanzania ni sanifu sana mpaka wakiongea wanakaa wapole.... hhh![]()
Damn, miaka mitano.Mimi nime ka TZ muwaka tano.
Naacala...![]()
Damn, miaka mitano.
Nadhani wee ni mpole. Ukweli au uongo? Kkk![]()
Loool, siko wote wawili. Just a somali blessed with languages@Dalmoor na ongea swahili ya asli, wewe ni sijui waa kenya or TZ ?
Mimi naapa sielewi kile ambacho watu wanasema. Labda google translator ni fucking na mimi.sxb ume poteya ow vipi :siilaanyolaugh:
Wapotea wapi?. Nadhani uko mbali sasa hivi ama google haijafanya kazi yake kuzuri?Naacala...![]()
Loool, siko wote wawili. Just a somali blessed with languages
Nilikupa/nilikuambia uongo, nami nilisomea hio lugha katika kenya.... lakini mimi si msijui.
Najua lugha yangu/somali vizuri na sikuzaliwa kule kenya![]()
Na hizo lugha, wawezanipa/nipea majina yao?I used to speak 5 languages, i forgot 2. now i only speak Somali, Swahili and English. Damn i'm getting old bro.